Karama ya kutodanganyika (kwa Kiingereza: "infallibility", kutoka Kilatini "infallibilitas") ni ile ambayo Wakristo wa madhehebu mbalimbali, hasa Wakatoliki na Waorthodoksi, wanasadiki ilishirikishwa na Yesu kwa Kanisa lake ili liweze kuongoza watu kwenye ukweli wote chini ya Roho Mtakatifu[1].
Kuhusu nani, katika Kanisa, na namna gani anatumia karama hiyo[2], misimamo ni tofauti, kwa mfano mitaguso ya kiekumene[3].
It is in this sense that discernment of charisms is always necessary. No charism is exempt from being referred and submitted to the Church's shepherds. "Their office [is] not indeed to extinguish the Spirit, but to test all things and hold fast to what is good," (LG 12; cf. 30; 1 Thess 5:12, 19–21; John Paul II, Christifideles Laici, 24.) so that all the diverse and complementary charisms work together "for the common good." (1 Cor 12:7.)
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search